1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ripoti ya shirika la kimataifa la kutetea haki za binaadamu kuhusu virusi vya HIV

16 Desemba 2008

Watoto kiasi cha elfu 40 wako katika hatari ya kufariki katika kipindi cha miezi 24 ijayo ikiwa hawatapata madawa ya kupunguza makali ya virusi vya HIV.

https://p.dw.com/p/GHMj
Watoto walioathirika na virusi vya HIV barani AfrikaPicha: AP

Hayo yametangazwa leo katika ripoti ya shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch mjini Nairobi nchini Kenya.

Mengi zaidi na mwandishi wetu Alfred Kiti