1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Sebastian Vettel

Sebastian Vettel ni dereva wa Formula One kutoka Ujerumani, kupitia kampuni ya mashindano ya Red Bull ya nchini Austria. Ndiye bingwa wa dunia kwa sasa, akiwa ameshinda ubingwa mwaka 2010, 2011, 2012, na 2013.

Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi