1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Serikali ya Ujerumani yatoa msaada DRC

8 Desemba 2008

Serikali ya ujerumani imeelezea nia yake ya kuendelea kuunga mkono serikali ya DRC katika kufikia maendeleo nchini Kongo.

https://p.dw.com/p/GBjD
Naibu Waziri wa uhusiano, kiuchumi na maendeleo wa Ujerumani Bw. Erich StatherPicha: BMZ

Naibu waziri wa kwenye wizara ya uhusiano wa kiuchumi na maendeleo wa ujerumani Erich Stather amesaini mjini Kinshasa na serikali ya nchi hiyo mkataba wa Euro 72.5 milioni ya msaada wa kiutu,huduma ya maji safi kwa wananchi wa mashamabani na ulinzi wa mazingira.


Taarifa kamili na mwandishi wetu Saleh Mwanamilongo.