1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Sherehe za kuadhimisha miaka 20 tangu ukuta wa Berlin kuanguka

9 Novemba 2009

Leo ni siku ya furaha hapa Ujerumani, kama mlivosikia katika taarifa zetu za habari. Wajerumani wanaadhimisha miaka 20 tangu kuanguka Ukuta wa Berlin uliokuwa alama ya kugawika Ujerumani katika sehemu mbili.

https://p.dw.com/p/KS4N
FILE - Berliners from East and West crowd in front of the Brandenburger Tor (Brandenburg Gate), early morning, Nov. 10, 1989, standing atop and below the Berlin Wall, which has divided the city since the end of World War II. The citizens facing the West celebrate the opening of the order that was announced by the East German Communist government hours before. Monday, Nov. 9, 2009 marks the 20th anniversary of the fall of the Berlin Wall. (AP Photo/Jockel Finck)
Wananchi wa Berlin Mashariki na Magharibi walipokusanyika katika lango la Brandenburg asubuhi ya tarehe 10,1989Picha: AP

Ukuta huo ulikuwa ni alama ya kukosekana uhuru wa kutembea, wa kutoa maoni na utawala wa mabavu wa kikomunisti katika Ulaya ya Mashariki. Sherehe za shangwe za leo zimesheheni katika mji wa Berlin, hasa katika Lango la Brandenburg ambako Othman Miraji aliungana nako kwa njia ya simu: