1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Spice Diana: Angali atumbuiza licha ya janga la corona

11 Novemba 2020

Janga la corona limesababisha wasanii ulimwenguni kukosa kujumuika na mashabiki wao. Lakini nchini Uganda, wanamuziki wamekataa kunyamazishwa na janga hilo. Kwa kushirikiana na vituo vya televisheni, wanawapa mashabiki burudani kama densi kila wikendi kwa kupeperushwa moja kwa moja kwenye televisheni!

https://p.dw.com/p/3l93J