Kwenye kipindi cha Afya yako, leo tunaangazia visa vya watu kuathirika kutokana na chakula kilicho na sumu ya Aflatoxin haswa nchini Kenya. Hali hiyo imekuwa ikitokea sehemu mbalimbali kwa muda mrefu sasa. Tunaangazia pia madhara ya sumu ya aflatoxin na jinsi ya kukabilina nayo. Mtayarishaji na msimulizi ni Bernard Maranga