1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 21.02.2020

Grace Kabogo
21 Februari 2020

Rais wa Ujerumani, Frank-Walter Steinmeier amesema nchi hiyo imeungana dhidi ya vitendo vya chuki na ghasia // Tume ya Afya na Magonjwa ya China imesema kuwa wagonjwa wapya 889 wamethibitika kuambukizwa virusi vya Corona hadi kufikia jana // Saudi Arabia imesema kuwa imeyazuia na kuyateketeza makombora kadhaa yaliyorushwa na wanamgambo wa Houthi kuelekea kwenye miji ya nchi hiyo.

https://p.dw.com/p/3Y6Mq