Dampo la Dandora ambalo ni kubwa zaidi Jijini Nairobi, na hapo maefu ya Wakenya hujipatia kipato. Wanasema "Takataka kwa mtu mwingine, mwingine kwake ni hazina". Video hii inaonyesha wanawake wanaouza nywele za bandia zilizotupwa kwenye dampo hilo, baada ya kuzifanyia maboresho.