1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tanzania: Mtandao wa wafanyabiashara Mtwara

salma mkalibala/MMT27 Novemba 2020

Hebu fikiria maisha ya sasa yangekuwaje bila teknolojia? Kwa hakika mapinduzi ya teknolojia yameleta mabadiliko makubwa katika maisha ya kila siku. Katika makala ya Wanawake na Maendeleo Salma Mkalibala anamuangazia Hellen Mchomvu, mwanamke aliyeanzisha mtandao wa wafanyabiashara kwa kuwakutanisha wauzaji na wanunuzi wa bidhaa kupitia mitandao ya kijamii.

https://p.dw.com/p/3lv73