1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tanzania: Profesa Lipumba azungumzia mzozo wa Gesi

29 Januari 2013

Chama cha upinzani nchini Tanzania CUF kimelaumu mwenendo unaochukuliwa na jeshi la polisi kushughulikia mizozo inayoendelea kujitokeza nchini, ikiwemo mzozo wa usafirishaji wa gesi kutoka Mtwara hadi Dar es salaam.

https://p.dw.com/p/17TJq
Profesa Ibrahim Lipumba wa chama cha upinzani cha CUF Tanzania
Profesa Ibrahim Lipumba wa chama cha upinzani cha CUF TanzaniaPicha: DW

Mwenyekiti wa chama hicho Profesa Ibrahim Lipumba amesema kuwa jeshi la polisi limevuka mipaka ya utendaji wake na wakati mwingine hutumia nguvu isivyo lazima na hivyo kusababisha athari kubwa kwa wananchi.

Kutoka Dar es Salaam , George Njogopa anaarifu zaidi na kusikiliza taarifa hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Mwandishi: George Njogopa

Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman