1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

TEHERAN : Mkutano juu ya Maangamizi Makuu wakosolewa

12 Desemba 2006
https://p.dw.com/p/CCk4

Ujerumani,Israel na Marekani zimekosoa vikali mkutano unaofanywa katika mji mkuu wa Iran, Teheran juu ya Maangamizi Makuu.Rais wa bunge la Ujerumani Lammert katika hati aliompelekea rais Ahmedinejad amesema,propaganda za kibaguzi kuhusu Uyahudi zimepewa jukwaa rasmi.Israel nayo imesema mkutano huo hauna haya.