1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

THE HAGUE: Katibu Mkuu Ban ziarani Uholanzi

1 Februari 2007
https://p.dw.com/p/CCWB
Kansela Angela Merkel (kushoto) na Rais Thabo Mbeki kabla ya majadiliano yao mjini Pretoria
Kansela Angela Merkel (kushoto) na Rais Thabo Mbeki kabla ya majadiliano yao mjini PretoriaPicha: AP

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon amewasili Uholanzi ambako mbali na kukutana na Malkia Beatrix na waziri mkuu Jan Peter Balkenende,atatembelea pia Mahakama ya Uhalifu wa Kivita pamoja na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu.Uholanzi ni kituo cha mwisho cha Ban katika ziara yake barani Ulaya na Afrika.