1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mashirika yanavyoboresha mazingira katika kambi ya Kakuma

1 Machi 2021

Mashirika katika kambi ya wakimbizi ya Kakuma huko Turkana, Kenya yanavyofanya kazi ya ziada kuboresha mazingira ya kambi hiyo. Mashirika hayo yanakusanya taka za plastiki ambazo baadaye zinatumika kutengeza bidhaa mbalimbali. Fuatana naye Michael Kwena katika video hii kufahamu zaidi

https://p.dw.com/p/3q3Cg