1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tuzo ya Oscar yaenda kwa Lupita Nyong'o wa Kenya

Samia Othman3 Machi 2014

Wakenya huko Kenya na walioko nchi za ng'ambo wanaendelea kusherehekea ushindi wa Mwana wa Seneta Anyang' Nyongo, Lupita Nyong'o ambaye ametuzwa tuzo ya kifahari ya filamu - tuzo inayojulikana kama Oscar nchini Marekani.

https://p.dw.com/p/1BIZS
Lupita Nyong'o kutoka Kenya akiifurahia Tuzo yake.
Lupita Nyong'o kutoka Kenya akiifurahia Tuzo yake.Picha: Reuters

Lupita ni binti wa Mjumbe wa baraza la Seneti nchini Kenya ,Seneta Peter Anyang Nyong'o.

Mwandishi wetu Alfred Kiti kutoka Nairobi na taarifa zaidi. Kusikiliza taarifa hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini

Mwandishi: Alfred Kiti

Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi