1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ubelgiji kuwarudisha nyumbani waasi wa Rwanda wa FDLR,Interahamwe na Marasta

27 Juni 2007

Ubelgiji,mkoloni wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo,imetangaza kuwa itatumia njia ya kidiplomasia kwa kuwarudisha nyumbani waasi wa Rwanda wa FDLR,Interahamwe na Marasta wanaoishi mashariki mwa nchi hiyo.

https://p.dw.com/p/CHC6