SiasaUchaguzi Kenya kuendelea hata kukiwa na hitilafu21.07.201721 Julai 2017Mahakama kuu imepuuzilia mbali ombi la muungano wa upinzani NASA, kusitisha uchaguzi mkuu iwapo mitambo ya Tume ya Uchaguzi IEBC ya kuendesha uchaguzi itashindwa kufanya kazi wakati wa uchaguzi. https://p.dw.com/p/2gwBuPicha: Reuters/M. EshiwaniMatangazoJ2:21.07.2017_ IEBC Win- Shisia Wasilwa - MP3-StereoTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 audio