1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ufaransa yalaumiwa kwa kurefusha muda wa hali ya hatari

27 Februari 2016

Ufaransa ambayo imekuwa katika hali ya hatari tokea mwezi wa Novemba kufuatia mashambulizi ya kigaidi Paris inalaumiwa kwa kushindwa kutowa ushahidi wa kutosha juu ya haja ya kurefusha muda wa hali ya hatari hadi Mei

https://p.dw.com/p/1I3WC
Frankreich Weihnachten Sicherheitsmaßnahmen
Picha: Reuters/J. Naegelen

[No title]