1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ujuwe ugonjwa wa tete-kuwanga

14 Septemba 2011

Baadhi ya maeneo ya Afrika ya Mashariki hivi sasa yanakabiliwa na ugonjwa maambukizi wa tete-kuwanga, ambao umewashika sana watoto wa chini ya miaka 10.

https://p.dw.com/p/RlaH
Afya yako
Afya yakoPicha: Fotolia/Gina Sanders

Katika makala hii ya Afya, Halima Nyanza anazungumza na madaktari bingwa na wagonjwa waliowahi kuuguwa ugonjwa huu wa tete-kuwanga.

Mtayarishaji: Halima Nyanza
Mhariri: Othman Miraji