1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Umoja wa Afrika na Baraza la amani na usalama wakutana mjini Addis Abeba

20 Juni 2007

Baraza la amani na usalama na Umoja wa Afrika lilitarajiwa kukutana mjini Addis Abeba,Ethiopia kujadili kuhusu hali ilivyo katika jimbo la Darfur nchini Sudan.

https://p.dw.com/p/CHCT

Mwandishi wetu wa mjini Addis Abeba Anaclet Rwegayura anaripoti.