1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Umoja wa Mataifa waiwekea vikwazo vipya Korea Kaskazini

Lilian Mtono
12 Septemba 2017

Umoja wa Mataifa wapitisha azimio la vikwazo vipya dhidi ya Korea Kaskazini, Angela Merkel asema hatabadilisha msimamo wake dhidi ya ukomo wa idadi ya wakimbizi na Ligi ya mabingwa Ulaya kuanza kutimua vumbi. Papo kwa Papo:12.09.2017

https://p.dw.com/p/2jp4H