Watu ambao ni mashuhuri ukipenda mastaa katika nyanja mbalimbali mfano, wacheza kandanda, wanamuziki, waigizaji hufanya juhudi mbalimbali na kuzisambaza kwa mashabiki wao kwa njia mbalimbali mfano mitandaoni. Makala ya Vijana Mchamchaka inaangazia juhudi za ‘mastaa’ kutunga vitabu hususan kuwahusu na kuzichapisha mitandaoni. Je mashabiki wao hushawishiwa kuvisoma? Mtayarishaji ni Bruce Amani.