1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uwakilishi wa wanawake bungeni nchini Kenya

15 Agosti 2007

Zaidi ya wanawake 200 leo waliongozana hadi katika majengo ya bunge jijini Nairobi kuwasilisha pendekezo lao la kutaka wapewe nafasi 50 za uwakilishi bungeni mswaada ambao uliendelea kujadiliwa katika kikao cha bunge leo hii.

https://p.dw.com/p/CH9X
Jengo la Bunge la Kenya jijini Nairobi
Jengo la Bunge la Kenya jijini NairobiPicha: DW
Zainab Aziz alizungumza na kiongozi wa harakati za mswaada huo Bibi Ida Odinga.