1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vipimo kila kona!

Lilian Mtono
19 Machi 2020

Ni katika eneo la Namanga kunakopatikana mpaka wa Kenya na Tanzania. Virusi vya corona vimekuwa tishio kila kona. Na sasa hupiti kokote bila ya kupimwa. Veronica Nathalis ametuandalia video hii. #Kurunzi

https://p.dw.com/p/3ZiKb