1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vita, unyanyasaji chanzo cha ongezeko la wakimbizi duniani

Sylvia Mwehozi
19 Juni 2019

Shirika la Umoja wa Mataifa linalowahudumia Wakimbizi, UNHCR limesema watu takriban milioni 71 wameyakimbia makazi yao duniani kote, kuepuka ghasia na unyanyasaji. Kurunzi.

https://p.dw.com/p/3KhiU