1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Waasi wa M23 wauteka mji wa Rutshuru,Mashariki mwa Kongo

17 Julai 2012

Katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo ambako inasemekana kwamba Waasi wa M23 wameuteka tena mji na wilaya ya Rutshuru kutoka kwa majeshi ya serikali,tukio ambalo limethibitishwa na msemaji wa jeshi hilo.

https://p.dw.com/p/15YtD
Wakaazi wa Rutshuru wakimbilia Goma
Wakaazi wa Rutshuru wakimbilia GomaPicha: AP

Wakati huo huo,taarifa zinasema tayari raia wengi wameanza kuyahama makaazi yao na baadhi yao kukimbilia mjini Goma.

Mwandishi wetu John Kanyunyu ametutumia ripoti ifuatayo.

(Kusikiliza ripoti bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)

Mwandishi John Kanyunyu

Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi