1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wahadhiri na wanafunzi wa chuo kikuu cha Roma wagoma

16 Januari 2008
https://p.dw.com/p/CqD7

ROMA:

Baba Mtakatifu Benedict amefuta ziara yake katika chuo kikuu cha Roma kufuatia maandamano ya waalimu na wanafunzi wa chuo hicho.Badala yake Baba Mtakatifu atatuma hutoba yake kwa chuo kikuu cha La Sapienza.Hakukutolewa sababu ya kufutwa kwa ziara hiyo.