1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wakimbizi wa Syria Wajiunganisha na jamii ya Ujerumani

Lilian Mtono
5 Septemba 2017

Mataifa mengi ya Ulaya hayapendi kupokea wakimbizi. Lakini sera ya "Milango wazi" ya Kansela Angela Merkel wa Ujerumani, ilisababisha wengi kuingia nchini humo. Baadhi yao sasa wanasema, ni jambo jema kurejesha fadhila. Miongoni mwao ni mkimbizi huyu Moneer, anafanya nini? Tizama Video hii.

https://p.dw.com/p/2jN0X