1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wanaharakati wa mazingira watunza fukwe za Msumbiji

29 Aprili 2016

Uchafuzi wa mazingira ni tatizo sugu kwa Msumbiji. Athari za kukosekana mfumo mzuri wa ukusanyaji taka zinadhihirika kwenye pwani ambako kuna mlundikano wa taka. Mtaalamu wa sheria na mazingira ameamua kuchukua hatua.

https://p.dw.com/p/1IfIx
Videostill Mozambik Afrika Umweltverschmutzung
Picha: DW

Wanaharakati wa mazingira watunza fukwe za Msumbiji