1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wanajeshi 600 wa DRC kurejeshwa nyumbani

Sylvia Mwehozi
20 Juni 2017

Mwanafunzi wa Kimarekani Otto Warmbier aliyekuwa amefungwa nchini Korea Kaskazini amefariki. Polisi nchini Uingereza imefanya msako katika makazi ya mtuhumiwa aliyeshambulia msikiti mmoja jijini London. Na zaidi ya wanajeshi 600 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wanarudishwa nyumbani kutokana na tuhuma za ubakaji. Papo kwa Papo 20.06.2017

https://p.dw.com/p/2f2Ro