Kundi la akina mama wa dini na madhehebu mbali mbali chini ya mwavuli wa Mtandao wa Wanawake wa Afrika wa imani mbali mbali , African Women of Faith Network huko Kenya limeshiriki tukio la maombi maalum ya kuonyesha kusimama pamoja na wanawake wanaopitia hali ngumu kutokana na ghasia nchini Sudan.