Warsha katika kituo cha Demokrasia nchini Tanzania28.04.200828 Aprili 2008Wadau wa masuala ya demokrasia, vyama vya siasa na asasi zisizo za kiserikali wamekutana leo jijini Dar es Salaam Tanzania.https://p.dw.com/p/DqDdJiji la Dar es Salaam kuliko fanyika warsha wa masuala ya demokrasiaPicha: DW /Maya DreyerMatangazo Mkutano huo ni wa kujadili majukumu ya vyombo vya habari, vyama vya siasa na asasi za kiraia katika kuendeleza demokrasia nchini. Hawra Shamte alihudhuria warsha hiyo na hii hapa ripoti yake.