1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

WASHINGTON: El-Marsi anasema Marekani iombe msamaha

30 Novemba 2006
https://p.dw.com/p/CCo9

Mjerumani mwenye asili ya Kilebanon El -Masri anaitaka Marekani iombe msamaha kwa sababu ya kutekwa nyara na mawakala wa shirika la kijasusi la Marekani CIA.Baada ya kukutana na wajumbe wa Seneti ya Marekani mjini Washington,El-Masri alisema anataka kuelezwa kwanini alitendewa hivyo.