1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wasichana India wajihami dhidi ya wabakaji

25 Machi 2020

Wasichana kadhaa mjini Delhi, India wanashirika madarasa ya kujifunza jinsi ya kujihami katika taifa ambalo lina rekodi mbaya ya visa vya dhuluma dhidi ya wanawake. Madarasa hayo yamepata umaarufu kufuatia kisa cha ubakaji 2012.

https://p.dw.com/p/3a1ou