1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Watoto 770,000 wakumbwa na Utapia mlo DRC

John Juma
11 Mei 2018

Shirika la Umoja wa Mataifa kuhusu watoto UNICEF limesema watoto 770 000 katika jimbo la Kasai Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wanakumbwa na utapia mlo na 400,000 miongoni mwao wako katika hali mbaya. Shirika hilo limetaka hatua za dharura za kiutu kuchukuliwa

https://p.dw.com/p/2xYX6