1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Watu 17 wauawa na kombora Somalia

14 Desemba 2007
https://p.dw.com/p/Cbg2

Watu 17 wameuliwa na kombora katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu. Walioshuhudia wanawalaumu wapiganaji wa chini kwa chini wa Kiislamu kwa kuhusika na shambulio hilo.Alhamisi wapiganaji hao walishambulia soko la Bakara.Wapiganaji hao wamekuwa wakipambana dhidi ya serikali ya Somalia inayoungwa mkono na Ethiopia.