1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Waziri Mkuu wa Kongo aahidi kuchukua hatua kali dhidi ya wapiganaji

30 Mei 2007

Kwa mara ya kwanza Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo Antoine Gizenga ameahidi kuchukua hatua kali dhidi ya wapiganaji ili kudumisha amani katika majimbo ya Kivu ya Kusini na Kaskazini.

https://p.dw.com/p/CHDR

Kiongozi huyo aliyasema hayo wakati alipohutubia bunge kueleza hali ya usalama na mpango wa bajeti ya serikali.

Taarifa kamili na mwandishi wetu Saleh Mwanamilongo kutoka Kinshasa.