1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Zanzibar: Ripoti ya Meli ya MV Spice Islander

19 Januari 2012

Katibu Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dk. Abdula Hamid Yahya Mzee ameiweka hadharani ripoti ya ajali ya meli ya mv Spice Islander iliyotokea Septemba mwaka jana na kusababisha vifo vya idadi kubwa ya watu.

https://p.dw.com/p/13ljr
epa02907842 Rescue workers carry a body on the shore after a ferry carrying some 600 passengers capsized in early hours of 10 September 2011 off Zanzibar, the semi-autonomous region of Tanzania, 10 September 2011. Some 250 people have been rescued but more than 40 bodies have been recovered so far and hundreds are feared dead, according to reports. The MV Spice Islander sank while traveling from the main island Unguja to another island Pemba. Resuce is underway with police and fishing boats searching for the missing passengers in one of the worst maritime disasters in Zanzibar's history. EPA/BEATRICE SPADACINI
Waokozi wa meli ya MV Spice IslanderPicha: picture-alliance/dpa

Ripoti hii imetaja uzembe kama chanzo cha ajali, idadi kamili ya wailokuwemo katika meli na walikufa,  mapendekezo ya hatua za kuchukuliwa dhidi ya wahusika na fidia kwa waliothiriwa.

Kutoka huko Zanzibar Sudi Mnette amezungumza na mwandishi Issa Yusuf na kwanza nilitaka ufafanuzi wa chanzo cha ajali hiyo.

Mwandishi: Issa Yusuf

Mhariri: Othman Miraji