1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Zanzibar yaadhimisha miaka 54 ya mapinduzi

12 Januari 2018

Wakati Wazanzibari wakiadhimisha miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar, wakazi wa visiwa hivyo wametoa maoni yao kuhusu kumbukumbu ya siku hii na wapi wanapoiona Zanzibar tangu mapinduzi hayo.

https://p.dw.com/p/2qkZN
Zanzibar yasherehekea miaka 54 ya Mapinduzi
Picha: DW/Y.Talib

J2.12.01.2018 VOX POP ZANZIBAR REVOLUTION MMT - MP3-Stereo

Gwaride la kuadhimisha miaka 54 ya Mapinduzi Zanzibar
Gwaride la kuadhimisha miaka 54 ya Mapinduzi Zanzibar Picha: DW/Y. Talib
Rais wa Tanzania John Magufuli na Rais wa Zanzibar Ali Mohammed Shein wakisalimiana
Rais wa Tanzania John Magufuli na Rais wa Zanzibar Ali Mohammed Shein wakisalimianaPicha: DW/Y. Talib
Sherehe za Mapinduzi zilifanywa katika uwanja wa Amaan
Sherehe za Mapinduzi zilifanywa katika uwanja wa Amaan Picha: DW/Y.Talib