Mkutano kuhusu mustakabali wa Afghanistan wafanyika leo mjini Bonn, Ujerumani. Wajumbe watajadili misaada kuipatia Afghanistan.
Ungana nasi hapa kusikiliza Taarifa yetu ya habari za Ulimwengu asubuhi hii
Sikiliza Taarifa ya Habari asubuhi ya leo hapa
Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak anatazamiwa kukutana leo Jumatano na Kansela Olaf Scholz nchini Ujerumani. Baraza la Seneti la Marekani laidhinisha msaada wa mabilioni ya dola kwa Ukraine, Israel na Taiwan. Ujumbe wa Mawaziri wa Korea Kaskazini wameanza ziara ya nadra nchini Iran.