Deutsche Welle: Wagombea 2 wa urais nchini Kenya, William Ruto na Uhuru Kenyatta, ni miongoni mwa watu 4 wenye kesi ya kujibu mbele ya ICC mjini The Hague.
Rais William Ruto ametangaza kwamba watu wanaoishi katika maeneo yenye hatari ya kukumbwa na mafuriko kote nchini Kenya, watahamishiwa maeneo salama chini ya saa 48 zijazo.
Rais William Ruto wa Kenya ameliagiza jeshi kuwahamisha wananchi ambao wamekumbwa na mafuriko baada ya watu 171 kufariki dunia kufuatia mvua kubwa zaidi kulikumba taifa hilo la Afrika mashariki tangu mwezi Machi.
Wafanyakazi wanashusha pumzi baada ya serikali kutangaza nyongeza isiyopungua asilimia sita ya kima cha chini cha mshahara ili kuwapiga jeki.