Ajali ya Ndege ya shirika la Kenya Airways nchini Kamerun
7 Mei 2007
Serikali ya Kamerun imetoa taarifa kwamba ndege ya shirika la Kenya iliyotoweka jumamosi alfajiri imepatikana kwenye msitu wa kusini mashariki mwa mji wa Douala.
https://p.dw.com/p/CB4H
Matangazo
Zainab Aziz amezungumza na waziri wa uchukuzi wa Kenya Chirau Ali Mwakwere ambaye anaongoza ujumbe wa Kenya nchini Kamerun.
Mheshimiwa Mwakwere anaelezea ni yepi yaliyofikiwa hadi sasa.