1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ajali ya Ndege ya shirika la Kenya Airways nchini Kamerun

7 Mei 2007

Serikali ya Kamerun imetoa taarifa kwamba ndege ya shirika la Kenya iliyotoweka jumamosi alfajiri imepatikana kwenye msitu wa kusini mashariki mwa mji wa Douala.

https://p.dw.com/p/CB4H
Ndege ya Kenya Airways iliyoanguka huko Kamerun
Ndege ya Kenya Airways iliyoanguka huko KamerunPicha: AP

Zainab Aziz amezungumza na waziri wa uchukuzi wa Kenya Chirau Ali Mwakwere ambaye anaongoza ujumbe wa Kenya nchini Kamerun.

Mheshimiwa Mwakwere anaelezea ni yepi yaliyofikiwa hadi sasa.