1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

GAZA: Shambulio la Israel limelenga wanamgambo wa Hamas

19 Novemba 2006
https://p.dw.com/p/CCrE

Ripoti kutoka Gaza zinasema,shambulio la angani la Israel lililolenga gari la mwanamgambo wa Kipalestina limewajeruhi watu wasiohusika. Wanachama wawili wa Hamas waliokuwa ndani ya gari lililolengwa,walijeruhiwa lakini waliweza kujiokoa dakika ya mwisho.