1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

GAZA. Wapalestina sita wauawa Ukanda wa Gaza

22 Aprili 2007
https://p.dw.com/p/CC87

Wapalestina sita wameuawa kufuatia mashambulio yaliyofanywa na ndege za Israel kwenye ukanda wa Gaza.

Maafisa wa idara husika wamesema kuwa wanaharakati wa kundi la al-aqsa na wa kundia la Islamic Jihad waliuawa wakati gari lao liliposhambuliwa na wanajeshi wa Israel katika mji wa Jenin.

Isreal imethibitisha kuwa majeshi yake yamewaua wanaharakati hao.