1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Generali alieliwa na bomu juzi nchini Lebanon azikwa

14 Desemba 2007
https://p.dw.com/p/Cbif

Mazishi ya generali wa kijeshi wa Lebanon yameanza nje ya mji wa Beirut,wakati nchi hiyo ikiwa katika maombolezo ya kitaifa ya siku moja.Jeneza la marehemu Brigadier Generali Francois Hajj ilipelekwa nyumbani kwake kabala ya kuzikwa.