1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

KABUL: Mwanajeshi wa ISAF ameuawa Afghanistan

19 Agosti 2007
https://p.dw.com/p/CBXl

Mwanajeshi mmoja wa vikosi vya kimataifa vinavyolinda usalama nchini Afghanistan,ISAF ameuawa katika shambulizi la bomu,kusini mwa nchi.Kwa mujibu wa afisa wa ISAF katika mji mkuu Kabul,mwanajeshi huyo alikuwa akiusindikiza msafara wa magari ya kijeshi.Afisa huyo lakini hakueleza uraia wa mwanajeshi alieuawa.