1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

MAPUTO:Mke wa Bush ziarani Msumbiji

27 Juni 2007
https://p.dw.com/p/CBnv

Mke wa Rais Bush wa Marekani, Laura Bush amewasili nchini Msumbiji hii leo katika ziara yake ya mataifa manne barani afrika.

Ziara hiyo ya Laura Bush ina nia ya kuangalia ni jinsi gani Marekani itasaidia vita dhidi ya Malaria na Ukimwi maradhi yanayouawa idadi kubwa ya watu barani humo.

Laura Bush amewasili akitokea Mali na Senegal, kabla ya kwenda Zambia.