1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mkutano wa kimataifa unaozingatia maswala ya ueneaji wa majangwa duniani

12 Septemba 2007

Mkutano wa kimataifa unaozingatia maswala ya ueneaji wa majangwa duniani unaendelea huko mjini Madrid nchini Uhispania.

https://p.dw.com/p/CH8E
Zainab Aziz alizungumza na Thelma Mwadzaya ambaye anahudhuria mkutano huo na kwanza alimuuliza kuhusu maswala ambayo yamejitokeza hasa baada ya kufanyika mikutano mingine miwili ya aina hii.