1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Papo kwa Papo 14.07.2016

14 Julai 2016

Boris Johnson aliyeongoza kampeni ya Brexit ateuliwa kuwa waziri mpya wa mambo ya nje wa Uingereza. Maelfu wajitokeza katika mazishi ya polisi watano waliouawa Dallas Marekani. Na Umoja wa Mataifa umesema watu zaidi ya 300 wameuawa Sudan Kusini. Papo kwa Papo 14.07.2016

https://p.dw.com/p/1JOzk