1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Watu milioni 6.8 kupiga kura Rwanda

20 Julai 2017

Tume ya taifa ya uchaguzi nchini Rwanda imetangaza orodha rasmi ya wapiga kura milioni 6.8 watakaoshiriki kwenye uchaguzi wa Rais utakaofanyika Agosti. Nao waangalizi wa uchaguzi kutoka AU wamewasili Kigali.

https://p.dw.com/p/2gttr
Ruanda Wahlen
Picha: Picture alliance/Zumapress/G. Dusabe

J3 20.07.2017 WAPIGA KURA RWANDA WATANGAZWA - MP3-Stereo