1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wazee wa msichana alietoweka warudi Uingereza

9 Septemba 2007
https://p.dw.com/p/CBRD

LONDON:

Wazee wa kingereza wa msichana wa umri wa miaka 4-Kate na mumewew garry McCann wamerudi leo nyumbani uingereza kutoka Ureno ambako wametangazwa rasmi ni washukiwa katika kisa cha kutoweka kwa mtoto wao huyo.Ndege yao ilitua huko East midlands,karibu na nyumbani mwao alaasiri ya leo.Jamaa hao wangali wakikanusha kuhusika na kutoweka kwa mtoto wao .